PAPA LEO XIV ATUMA UJUMBE KWA LUGHA YA KISWAHILI KWA WAAFRIKA

 


Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Robert Francis Prevost Papa Leo XIV ameandika ujumbe kwa lugha ya kiswahili katika akaunti yake ya X, akihimiza bara la Afrika kuendelea kudumisha imani yao kwa Yesu Kristo

Papa Leo XIV Akiwa Papa wa kwanza kutoka Marekani, ni kiongozi anayetajwa kuwa na mwelekeo wa kuendeleza mageuzi ya hayati Papa Francis, akiwa na umri wa miaka 69

Comments