MATAIFA 7 YA AFRIKA MAARUFU KUINGIA MAREKANI
Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalopiga marufuku raia wa Mataifa 12 yakiwemo mataifa 7 ya Afrika kuingia nchini humo kwa kile walichokisema kuwa kufanya hivyo ni kulinda usalama wa Taifa la Marekani.
Mataifa ya Afrika yaliyopigwa marufuku hiyo ni pamoja na:๐
Somalia ๐ธ๐ด
Sudan ๐ธ๐ฉ
Chad ๐น๐ฉ
Eritrea ๐ช๐ท
Libya ๐ฑ๐พ
Congo (Brazzaville) ๐จ๐ฌ
Mataifa mengine 3 ya Afrika ambayo ni Burundi ๐ง๐ฎ
Comments