MATAIFA 7 YA AFRIKA MAARUFU KUINGIA MAREKANI

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalopiga marufuku raia wa Mataifa 12 yakiwemo mataifa 7 ya Afrika kuingia nchini humo kwa kile walichokisema kuwa kufanya hivyo ni kulinda usalama wa Taifa la Marekani. 

Mataifa ya Afrika yaliyopigwa marufuku hiyo ni pamoja na:๐Ÿ‘‡

Somalia ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ด
Sudan ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ
Chad ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฉ
Eritrea ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ท
Libya ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ
Congo (Brazzaville) ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ 

Mataifa mengine 3 ya Afrika ambayo ni Burundi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ
Sierra Leone ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฑ Togo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฌya Burundi, yenyewe yatawekewa sehemu fulani ya vikwazo kuingia Marekani. 

Comments